13 Pia Daudi alijijengea jina aliporudi baada ya kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.+ 14 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika nchi yote ya Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi popote alipoenda.+