1 Samweli 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tulivamia upande wa kusini wa* Wakerethi+ na eneo la Yuda na upande wa kusini wa* Kalebu,+ nasi tukateketeza Siklagi kwa moto.” Sefania 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko dhidi yenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.
14 Tulivamia upande wa kusini wa* Wakerethi+ na eneo la Yuda na upande wa kusini wa* Kalebu,+ nasi tukateketeza Siklagi kwa moto.”
5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko dhidi yenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.