Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Benaya+ mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa wahudumu wakuu.*

  • 1 Wafalme 1:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kisha kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya+ mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi+ wakateremka, nao wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu wa Mfalme Daudi,+ wakampeleka Gihoni.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Benaya mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi+ na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa na cheo cha kwanza baada ya mfalme.

  • Ezekieli 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninaunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuwaangamiza wakaaji wanaobaki wa pwani ya bahari.+

  • Sefania 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+

      Neno la Yehova liko dhidi yenu.

      Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,

      Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki