Yohana 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Acheni kuhukumu kwa kutazama sura ya nje tu, bali hukumuni kwa uadilifu.”+ Yohana 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya kweli, kwa sababu siko peke yangu, bali Baba aliyenituma yuko pamoja nami.+
16 Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya kweli, kwa sababu siko peke yangu, bali Baba aliyenituma yuko pamoja nami.+