Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+

      Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,

      Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+

       4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

      Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

      Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

      Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

  • Mathayo 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnatoa sehemu ya kumi ya mnanaa na dili na bizari,+ lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki,+ rehema,+ na uaminifu. Mlipaswa kufanya mambo hayo, bila kupuuza yale mengine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki