Isaya 11:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+ 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+ Mathayo 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnatoa sehemu ya kumi ya mnanaa na dili na bizari,+ lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki,+ rehema,+ na uaminifu. Mlipaswa kufanya mambo hayo, bila kupuuza yale mengine.+
3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+ 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+
23 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnatoa sehemu ya kumi ya mnanaa na dili na bizari,+ lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki,+ rehema,+ na uaminifu. Mlipaswa kufanya mambo hayo, bila kupuuza yale mengine.+