2 Mambo ya Nyakati 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa nipe hekima na ujuzi+ ili niwaongoze watu hawa,* kwa maana ni nani anayeweza kulihukumu taifa hili lako lililo kubwa?”+ Zaburi 72:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+
10 Sasa nipe hekima na ujuzi+ ili niwaongoze watu hawa,* kwa maana ni nani anayeweza kulihukumu taifa hili lako lililo kubwa?”+