Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+

  • 2 Samweli 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kana kwamba hilo halitoshi, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, unasema pia kwamba nyumba yangu mimi mtumishi wako itadumu kwa muda mrefu; na haya ni maagizo* kwa wanadamu wote, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘“Siku zako zitakapokwisha nawe uzikwe pamoja na mababu zako, nitamwinua mzao wako* baada yako, mmoja wa wana wako,+ nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+

  • Zaburi 89:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Nimefanya agano pamoja na yule niliyemchagua;+

      Nimemwapia Daudi mtumishi wangu:+

  • Zaburi 89:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitadumisha upendo wangu mshikamanifu kumwelekea milele,+

      Na agano langu nililofanya pamoja naye halitavunjika kamwe.+

      29 Nitauimarisha uzao wake* milele

      Na kukifanya kiti chake cha ufalme kidumu kama mbingu.+

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi;

      Kwa hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mmoja wa wazao wako,*

      Nitamfanya aketi kwenye kiti chako cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki