5 Je, sivyo ilivyo nyumba yangu mbele za Mungu?
Kwa maana amefanya pamoja nami agano la milele,+
Lililopangwa kwa utaratibu katika kila jambo na kuhakikishwa.
Kwa sababu linamaanisha wokovu wangu wote na furaha yangu yote,
Je, yeye halifanyi lisitawi kwa sababu hiyo?+