Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu;+ kwa maana binti ya Ahabu ndiye aliyekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala,+ naye akatawala mwaka mmoja katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Athalia+ mjukuu wa Omri.+

  • Nehemia 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Je, haikuwa kwa sababu yao kwamba Sulemani mfalme wa Israeli alitenda dhambi?+ Na hapakuwa na mfalme kama yeye katika hayo mataifa mengi;+ naye alipendwa na Mungu wake,+ hivi kwamba Mungu akamfanya kuwa mfalme juu ya Israeli wote. Lakini wake wa kigeni walimfanya hata yeye atende dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki