9 bali ukaanza kutenda vibaya zaidi kuliko wale wote waliokutangulia, nawe ukajitengenezea mungu mwingine+ na sanamu za kuyeyushwa+ ili kunitia uchungu,+ nawe umenitupa mimi nyuma ya mgongo wako;+
4Sikieni neno la Yehova, enyi wana wa Israeli, kwa maana Yehova ana kesi na wakaaji wa nchi,+ kwa maana hakuna kweli+ wala fadhili zenye upendo wala kumjua Mungu katika nchi.+