2 Mambo ya Nyakati 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye alipokea barua kutoka kwa nabii Eliya+ iliyosema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema, ‘Hujafuata* njia za Yehoshafati baba yako+ wala njia za Mfalme Asa+ wa Yuda.
12 Baadaye alipokea barua kutoka kwa nabii Eliya+ iliyosema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema, ‘Hujafuata* njia za Yehoshafati baba yako+ wala njia za Mfalme Asa+ wa Yuda.