2 Mambo ya Nyakati 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehoramu alipochukua mamlaka ya ufalme wa baba yake, aliimarisha mamlaka yake kwa kuwaua ndugu zake wote+ kwa upanga, na pia baadhi ya wakuu wa Israeli.
4 Yehoramu alipochukua mamlaka ya ufalme wa baba yake, aliimarisha mamlaka yake kwa kuwaua ndugu zake wote+ kwa upanga, na pia baadhi ya wakuu wa Israeli.