2 Mambo ya Nyakati 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ na Yehoramu akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.
6 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ na Yehoramu akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.