2 Mambo ya Nyakati 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati Yehoramu aliposimama kuwa juu ya ufalme wa baba yake, alikiimarisha cheo chake, kwa hiyo akawaua ndugu zake+ wote kwa upanga na pia baadhi ya wakuu wa Israeli. Waroma 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+
4 Wakati Yehoramu aliposimama kuwa juu ya ufalme wa baba yake, alikiimarisha cheo chake, kwa hiyo akawaua ndugu zake+ wote kwa upanga na pia baadhi ya wakuu wa Israeli.
29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+