1 Wathesalonike 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana himizo ambalo tunatoa halitokani na kosa au kutokana na uchafu+ au na udanganyifu, 1 Petro 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, ondoeni ubaya+ wote na udanganyifu wote na unafiki na wivu na namna zote za masengenyo,+