Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya muda watu waliokuwa wamepiga kambi wakasikia habari, zikisema: “Zimri amepanga hila na pia akampiga na kumuua mfalme.” Basi Israeli wote wakamfanya Omri,+ mkuu wa jeshi, kuwa mfalme juu ya Israeli siku hiyo katika kambi.

  • 1 Wafalme 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika mwaka wa 31 wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme juu ya Israeli kwa miaka 12. Akatawala miaka 6 kule Tirsa.

  • 1 Wafalme 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mambo mengine ya Omri, yale aliyoyafanya na nguvu zake alizotumia kutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala,+ naye akatawala mwaka mmoja katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Athalia+ mjukuu wa Omri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki