1 Wafalme 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baada ya muda wanajeshi waliokuwa wamepiga kambi wakasikia hivi: “Zimri amepanga njama na pia amemuua mfalme.” Basi siku hiyo huko kambini Waisraeli wote wakamweka Omri,+ mkuu wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli.
16 Baada ya muda wanajeshi waliokuwa wamepiga kambi wakasikia hivi: “Zimri amepanga njama na pia amemuua mfalme.” Basi siku hiyo huko kambini Waisraeli wote wakamweka Omri,+ mkuu wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli.