2 Wafalme 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia,+ mjukuu wa* Mfalme Omri+ wa Israeli. Mika 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana unashika sheria za Omri na matendo yote ya nyumba ya Ahabu,+Nawe unafuata ushauri wao. Ndiyo sababu nitakufanya kuwa kitu cha kutishaNa wakaaji wake kuwa kitu cha kupigiwa mluzi;+Nawe utabeba dharau za mataifa.”+
26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia,+ mjukuu wa* Mfalme Omri+ wa Israeli.
16 Kwa maana unashika sheria za Omri na matendo yote ya nyumba ya Ahabu,+Nawe unafuata ushauri wao. Ndiyo sababu nitakufanya kuwa kitu cha kutishaNa wakaaji wake kuwa kitu cha kupigiwa mluzi;+Nawe utabeba dharau za mataifa.”+