Methali 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+ Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+
10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+