2 Wafalme 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na walinzi wa jumba la mfalme+ wakasimama mahali pao, kila mmoja akiwa na silaha zake mikononi, kuanzia upande wa kulia wa nyumba mpaka upande wa kushoto wa nyumba, kando ya madhabahu,+ na kando ya nyumba hiyo, kumzunguka mfalme pande zote.
11 Na walinzi wa jumba la mfalme+ wakasimama mahali pao, kila mmoja akiwa na silaha zake mikononi, kuanzia upande wa kulia wa nyumba mpaka upande wa kushoto wa nyumba, kando ya madhabahu,+ na kando ya nyumba hiyo, kumzunguka mfalme pande zote.