Waamuzi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha. 2 Wafalme 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Yehova hakutaka kuharibu Yuda+ kwa sababu ya Daudi mtumishi wake,+ kama alivyokuwa ameahidi kumpa taa,+ yeye na wanawe sikuzote. Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+
5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.
19 Na Yehova hakutaka kuharibu Yuda+ kwa sababu ya Daudi mtumishi wake,+ kama alivyokuwa ameahidi kumpa taa,+ yeye na wanawe sikuzote.
5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+