11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
27 Naye Gideoni akavifanya kuwa efodi+ na kuiweka katika jiji lake la Ofra+ ili ionekane; na Israeli wote wakaanza kufanya uasherati nayo hapo,+ nayo ikawa mtego kwa Gideoni na kwa nyumba yake.+