- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 23:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Na wale Walawi na Yuda wote wakafanya kulingana na yote ambayo Yehoyada+ kuhani alikuwa ameamuru.+ Basi kila mmoja wao akachukua watu wake waliokuwa wakiingia wakati wa sabato pamoja na wale waliokuwa wakitoka nje wakati wa sabato,+ kwa kuwa Yehoyada kuhani hakuwa ameviachisha kazi vile vikundi vya migawanyo.+ 
 
-