12 Naye akaendelea kuwa pamoja nao katika nyumba ya Mungu wa kweli akiwa amefichwa kwa miaka sita,+ Athalia alipokuwa akitawala kama malkia+ juu ya nchi.+
12 Na kuhusu watu wangu, wagawa-kazi wao wanatenda vikali, na wanawake kwa kweli hutawala juu yao.+ Enyi watu wangu, wale wanaowaongoza wanawapoteza ninyi,+ nao wameivuruga njia ya mapito yenu.+
15 Na sasa tunawatangaza watu wenye kimbelembele kuwa wenye furaha.+ Pia, watendaji wa uovu wamejengwa.+ Wao pia wamemjaribu Mungu nao huendelea kuponyoka.’ ”+