31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
15 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki!+ kwa sababu mnasafiri katika bahari na katika nchi kavu ili kugeuza imani ya mtu mmoja, na anapogeuka ninyi humfanya astahili Gehena* mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.