Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Habakuki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+

  • Mathayo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+

  • Mathayo 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki!+ kwa sababu mnasafiri katika bahari na katika nchi kavu ili kugeuza imani ya mtu mmoja, na anapogeuka ninyi humfanya astahili Gehena* mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki