1 Samweli 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake; 2 Samweli 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+ 1 Wafalme 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake, akaziweka chini ya wakuu wa wakimbiaji,+ walinzi wa mlango wa nyumba ya mfalme.+
11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;
15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+
27 Basi Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake, akaziweka chini ya wakuu wa wakimbiaji,+ walinzi wa mlango wa nyumba ya mfalme.+