Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;

  • 1 Samweli 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo mfalme akawaambia wakimbiaji+ waliokuwa wamesimama kumzunguka: “Geukeni, mkawaue makuhani wa Yehova, kwa sababu mkono wao pia uko pamoja na Daudi na kwa sababu walijua kwamba yeye ni mkimbizi wala hawakunifunulia habari hiyo!”+ Lakini wale watumishi wa mfalme hawakutaka kunyoosha mkono wao ili kuwashambulia makuhani wa Yehova.+

  • 2 Samweli 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki