11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;
5 Wakati huo Adoniya+ mwana wa Hagithi+ alikuwa akijiinua,+ akisema: “Ni mimi nitakayetawala nikiwa mfalme!”+ Naye akajitengenezea gari pamoja na wapanda-farasi 50 wanaokimbia mbele yake.+