1 Wafalme 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:5 w05 7/1 28-29 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:5 The Watchtower,7/1/2005, kur. 28-29
5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+