Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Daudi akateka kutoka kwake wapanda-farasi 1,700 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu;+ na Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi+ wote wa magari, lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari.

  • 2 Samweli 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+

  • 1 Wafalme 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati huo Adoniya+ mwana wa Hagithi+ alikuwa akijiinua,+ akisema: “Ni mimi nitakayetawala nikiwa mfalme!”+ Naye akajitengenezea gari pamoja na wapanda-farasi 50 wanaokimbia mbele yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki