4 Naye Daudi akateka kutoka kwake wapanda-farasi 1,700 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu;+ na Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi+ wote wa magari, lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari.
5 Wakati huo Adoniya+ mwana wa Hagithi+ alikuwa akijiinua,+ akisema: “Ni mimi nitakayetawala nikiwa mfalme!”+ Naye akajitengenezea gari pamoja na wapanda-farasi 50 wanaokimbia mbele yake.+