52 Na vita vikaendelea kuwa vikali juu ya Wafilisti siku zote za Sauli.+ Na kila mara Sauli alipomwona mwanamume yeyote mwenye nguvu au mwanamume yeyote shujaa, alimchukua ili awe pamoja naye.+
4 “Baba yako aliifanya nira yetu kuwa ngumu, na sasa wewe ufanye utumishi mgumu wa baba yako na nira yake nzito+ aliyoweka juu yetu kuwa rahisi,+ nasi tutakutumikia.”+