1 Samweli 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake; 1 Samweli 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+
11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;
26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+