11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;
7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+