19 Tena, akawachukua wakuu wa mamia,+ walinzi walioitwa Wakari, walinzi wa jumba la mfalme,+ na watu wote nchini ili wamsindikize mfalme kushuka kutoka katika nyumba ya Yehova, wakaja katika jumba la mfalme kupitia lango la walinzi wa jumba la mfalme. Kisha mfalme akaketi kwenye kiti cha wafalme.+