2 Wafalme 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya hayo, watu wote nchini wakaenda kwenye nyumba ya* Baali na kubomoa madhabahu zake,+ nao wakazivunja kabisa sanamu zake,+ na kumuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu. Halafu kuhani akawaweka waangalizi wa nyumba ya Yehova.+
18 Baada ya hayo, watu wote nchini wakaenda kwenye nyumba ya* Baali na kubomoa madhabahu zake,+ nao wakazivunja kabisa sanamu zake,+ na kumuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu. Halafu kuhani akawaweka waangalizi wa nyumba ya Yehova.+