4 Na katika mwaka wa saba Yehoyada+ akatuma watu, kisha akawachukua wakuu wa mamia wa walinzi Wakari+ na wa wakimbiaji+ na kuwaleta kwake katika nyumba ya Yehova, akafanya agano+ pamoja nao na kuwaapisha+ katika nyumba ya Yehova, kisha akawaonyesha mwana wa mfalme.