Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.

  • Yeremia 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 basi pia wafalme pamoja na wakuu+ hakika wataingia kupitia malango ya jiji hili, wakikaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi,+ wakipanda gari na farasi, wao pamoja na wakuu wao, watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; na hakika jiji hili litakaliwa mpaka wakati usio na kipimo.

  • Yeremia 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana mkilifanya neno hili kwelikweli, hakika pia wataingia kupitia malango ya nyumba hii wafalme wanaoketi kwa ajili ya Daudi juu ya kiti chake cha ufalme,+ wakipanda magari na farasi, yeye pamoja na watumishi wake na watu wake.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki