Yeremia 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mkijitahidi kufuata neno hili, basi wafalme wanaoketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ wataingia kupitia malango ya nyumba hii, wakiwa wamepanda magari na farasi, wao pamoja na watumishi wao na watu wao.”’+
4 Kwa maana mkijitahidi kufuata neno hili, basi wafalme wanaoketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ wataingia kupitia malango ya nyumba hii, wakiwa wamepanda magari na farasi, wao pamoja na watumishi wao na watu wao.”’+