Yeremia 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mkilifanya neno hili kwelikweli, hakika pia wataingia kupitia malango ya nyumba hii wafalme wanaoketi kwa ajili ya Daudi juu ya kiti chake cha ufalme,+ wakipanda magari na farasi, yeye pamoja na watumishi wake na watu wake.”’+
4 Kwa maana mkilifanya neno hili kwelikweli, hakika pia wataingia kupitia malango ya nyumba hii wafalme wanaoketi kwa ajili ya Daudi juu ya kiti chake cha ufalme,+ wakipanda magari na farasi, yeye pamoja na watumishi wake na watu wake.”’+