Yeremia 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 ndipo wafalme na wakuu wanaoketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ wataingia pia kupitia malango ya jiji hili, wakipanda gari na farasi, wao pamoja na wakuu wao, watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu;+ na jiji hili litaendelea kuwa na watu daima.
25 ndipo wafalme na wakuu wanaoketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ wataingia pia kupitia malango ya jiji hili, wakipanda gari na farasi, wao pamoja na wakuu wao, watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu;+ na jiji hili litaendelea kuwa na watu daima.