Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+

  • 1 Wafalme 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nitaifanya nyumba yako kuwa kama nyumba ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha+ mwana wa Ahiya, kwa ajili ya kosa ambalo umekosea, kisha kusababisha Israeli kutenda dhambi.’+

  • 2 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawe uipige nyumba ya Ahabu bwana wako, nami lazima nilipize kisasi+ damu ya watumishi wangu manabii na damu ya watumishi wote wa Yehova mkononi mwa Yezebeli.+

  • 2 Wafalme 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Waliporudi na kumwambia, ndipo akasema: “Hilo ni neno la Yehova alilosema kupitia+ mtumishi wake Eliya, Mtishbi, kusema, ‘Katika sehemu ya shamba la Yezreeli mbwa wataila nyama ya Yezebeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki