19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+
22 Nami nitaifanya nyumba yako kuwa kama nyumba ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha+ mwana wa Ahiya, kwa ajili ya kosa ambalo umekosea, kisha kusababisha Israeli kutenda dhambi.’+
7 Nawe uipige nyumba ya Ahabu bwana wako, nami lazima nilipize kisasi+ damu ya watumishi wangu manabii na damu ya watumishi wote wa Yehova mkononi mwa Yezebeli.+
36 Waliporudi na kumwambia, ndipo akasema: “Hilo ni neno la Yehova alilosema kupitia+ mtumishi wake Eliya, Mtishbi, kusema, ‘Katika sehemu ya shamba la Yezreeli mbwa wataila nyama ya Yezebeli.+