11 Nami nimetoa agizo kwamba yeyote atakayevunja+ amri hii, mti+ utang’olewa kutoka katika nyumba yake naye atatundikwa juu yake,+ na nyumba yake itageuzwa kuwa choo cha watu wote kwa sababu hiyo.+
5 Mfalme akajibu na kuwaambia Wakaldayo: “Mimi natangaza neno hili: Msiponijulisha ndoto hiyo, na tafsiri yake, mtakatwa vipande-vipande,+ na nyumba zenu zitageuzwa kuwa vyoo vya watu wote.+