2 Wafalme 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tena wakabomoa nguzo takatifu ya Baali+ na kuibomoa nyumba ya Baali,+ nao wakaitenga iwe choo+ mpaka leo hii. Ezra 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nimetoa agizo kwamba yeyote atakayevunja+ amri hii, mti+ utang’olewa kutoka katika nyumba yake naye atatundikwa juu yake,+ na nyumba yake itageuzwa kuwa choo cha watu wote kwa sababu hiyo.+
27 Tena wakabomoa nguzo takatifu ya Baali+ na kuibomoa nyumba ya Baali,+ nao wakaitenga iwe choo+ mpaka leo hii.
11 Nami nimetoa agizo kwamba yeyote atakayevunja+ amri hii, mti+ utang’olewa kutoka katika nyumba yake naye atatundikwa juu yake,+ na nyumba yake itageuzwa kuwa choo cha watu wote kwa sababu hiyo.+