40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+
2 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ ila tu si kama baba yake+ wala kama mama yake, bali aliondoa nguzo takatifu+ ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+