2 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Halafu Yehu na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu wakaingia katika nyumba ya Baali. Yehu akawaambia waabudu wa Baali: “Tafuteni kwa uangalifu mhakikishe kwamba hakuna mwabudu yeyote wa Yehova humu ndani isipokuwa waabudu wa Baali.”
23 Halafu Yehu na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu wakaingia katika nyumba ya Baali. Yehu akawaambia waabudu wa Baali: “Tafuteni kwa uangalifu mhakikishe kwamba hakuna mwabudu yeyote wa Yehova humu ndani isipokuwa waabudu wa Baali.”