2 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Yehu akaingia na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu katika nyumba ya Baali. Sasa akawaambia waabudu wa Baali: “Tafuteni kwa uangalifu mhakikishe kwamba hamna hapa ndani pamoja nanyi waabudu wowote wa Yehova, isipokuwa tu waabudu wa Baali.”+
23 Ndipo Yehu akaingia na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu katika nyumba ya Baali. Sasa akawaambia waabudu wa Baali: “Tafuteni kwa uangalifu mhakikishe kwamba hamna hapa ndani pamoja nanyi waabudu wowote wa Yehova, isipokuwa tu waabudu wa Baali.”+