Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Alipokuwa akienda kutoka hapo, akakutana na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu+ akija kumpokea. Alipombariki,+ akamwambia: “Je, moyo wako ni mnyoofu kunielekea mimi, kama vile moyo wangu ulivyo kuuelekea moyo wako?”+

      Ndipo Yehonadabu akasema: “Ndiyo.”

      “Ikiwa ndivyo, nipe mkono wako.”

      Kwa hiyo akampa mkono wake. Basi akampandisha ndani ya gari pamoja naye.+

  • Yeremia 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini wakasema: “Sisi hatutakunywa divai, kwa sababu Yonadabu mwana wa Rekabu,+ babu yetu, ndiye aliyeweka amri juu yetu, akisema, ‘Msinywe divai, ninyi wala wana wenu, mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 basi Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Hatakatiliwa mbali kutoka kwa Yonadabu mtu wa kusimama+ mbele zangu sikuzote.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki