Yeremia 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wakasema: “Sisi hatutakunywa divai, kwa sababu Yonadabu mwana wa Rekabu,+ babu yetu, ndiye aliyeweka amri juu yetu, akisema, ‘Msinywe divai, ninyi wala wana wenu, mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeremia 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 basi Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Hatakatiliwa mbali kutoka kwa Yonadabu mtu wa kusimama+ mbele zangu sikuzote.”’”+
6 Lakini wakasema: “Sisi hatutakunywa divai, kwa sababu Yonadabu mwana wa Rekabu,+ babu yetu, ndiye aliyeweka amri juu yetu, akisema, ‘Msinywe divai, ninyi wala wana wenu, mpaka wakati usio na kipimo.+
19 basi Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Hatakatiliwa mbali kutoka kwa Yonadabu mtu wa kusimama+ mbele zangu sikuzote.”’”+