Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hakuna watu wowote wenye kujisifu watakaosimama mbele za macho yako.+

      Wewe huwachukia wote wanaozoea kufanya mambo yenye kuumiza;+

  • Yeremia 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Ukirudi, basi nitakurudisha.+ Utasimama mbele zangu.+ Na ukileta kilicho cha thamani kutoka katika vitu visivyo na thamani, utakuwa kama kinywa changu. Wao wenyewe watarudi kwako, lakini wewe mwenyewe hutarudi kwao.”

  • Luka 21:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki