19 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:
“Ukirudi, basi nitakurudisha,
Nawe utasimama mbele zangu.
Ikiwa utatenganisha kilicho na thamani kutoka kwa kisicho na thamani,
Utakuwa kama kinywa changu mwenyewe.
Watalazimika kuja kwako,
Lakini wewe hutaenda kwao.”